Monday, January 5, 2015

JAMAA MCHAFU KULIKO WOTE DUNIANI,HAJAOGA KWA MIAKA 60

#1.Kucha kama za Mnyama?

Unaweza usikubaliane nami kwamba kucha zake ni kama za mnyama,ona jinsi ngozi take inavyotisha,Je,unadhani amekuwa akikata kucha zake katika kkipindi hicho cha miaka 60? kwa sababu urefu wake haulingani na umri huenda zingekuwa ndefu zaidi.

#2. Sura ngumu!

Wakati tukimzungumzia babu wa miaka 80 ambae hajaoga kwa miaka 60 ilikuwa ni muhimu kwamba ukaona sura yake katika muonekano wa karibu zaidi, ili kufananisha atafananaje mtu ambae hatooga kwa miaka 60? Je, umegundua kuwa meno yake pia yameota kutu! hebu fikiria harufu itakayokuwa inatoka hapo dah!



#3. Kibaya zaidi ni mvutaji wa kiko!

Bwana huyu inaelezwa kuwa ni mvutaji mzuri,jape anachokivuta hakieleweki,lakini pia hicho kiko ni kikukuu na kichafu!


#4. Je,ni chakula au uchafu?

Sasa hapa ni zaidi ya uchafu kama hiki kinachoonekana ni chakula chake basi tumboni humo kazi kweli,lakini hapana shaka Mungu anamlinda!

#5. Malazi

Kwa malazi haya ni lazima awe mchafu

#6.  Hobi ya uvutaji au hitaji la muhimu,ukiambiwa sio chizi ni makusudi.

Awali tulimuona akivuta kiko sasa ni sigara nne kwa mpigo,si kawaida kwa binadamu wa kawaida kufanya haya lakini kwa huyu bwana hilo linawezekana.


#7. Baridi au jua kali?

Kwa sababu anaishi katika miamba na vilimani huenda anajisikia baridi, bwana huyu yu ana muonekano wa tofauti na binadamu wengine.!

Haya nido maisha dunia duara.

Dunia hii aisee in a mambo sana na wakati fulani inastaajabisha, kwa kuwa tumekuwa tukiona mambo kadha wa kadha ya kushangaza hata kuzidi KAWAIDA.

Leo Habarika kwa kushirikiana na Shirika la Habari la Iran IRNA tunakuonyesha picha na kukupa maelezo ya mtu mchafu zaidi duniani ambae ana umri wa miaka 80 na hajaoga kwa miaka 60! maajabu haya!

Babu huyu haijayumkinika bado kama ana matatizo ya akili ama laah! kwani amekuwa akizungumza na hata kufanya mambo mengine wanayofanya binadamu wenye utashi kamili.

Kwa namns nyingine anaweza hata kumchefua mtu kwa mtazamo wake

Ukimtazama katika picha napa chini NGOZI yake ina magamba, KUCHA zake ni ndefu na chafu, MENO take nod balsa jingine,zebu fikiria kama hajaswaki kwa miaka 60 harufu take itakuwaje.MACHO yake hayaoni vizuri kutokana na uchafu uliokithiri,HARUFU yake kwa waliomshuhudia wanasema ni mbaaayaaa sana!!!

No comments:

Post a Comment